• Malalamiko |
    • Barua pepe |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
RORYA DISTRICT COUNCIL
RORYA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii, Vijana na Jinsia
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mazingira na Usafi
      • Idara ya Maji
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA)
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari

Waratibu Elimu Kata, Waganga wa Vituo vya Afya Wamepewa Elimu ya Uhasibu kwenye Mafunzo ya Mfumo wa Uhasibu na Utoaji Taarifa za Fedha kwa Ngazi ya Kituo cha Kutolea Huduma (Facility Financial Accounting and Reporting System ''FFARS'')

Tarehe ya Kuwekwa: June 12th, 2017

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Ndg. Charles K Chacha amefungua Mafunzo ya Siku Mbili ya Mfumo wa Uhasibu na Utoaji Taarifa za Fedha kwa Ngazi ya Kituo cha Kutolea Huduma (Facility Financial Accounting and Reporting System ''FFARS'' kwa Waratibu Elimu Kata, Wakuu wa Vituo vya Afya na Mhasibu wa Hospitali ya Wilaya. Mafunzo hayo yanafanyika katika Ukumbi wa SOA, Utegi-Rorya kuanzia tarehe 12 hadi 13, Jumi 2017, na baadaye Washiriki hawa Kusambaa Wilaya nzima kupeleka Mafunzo hayo kwa Walimu Wakuu Shule za Misingi, Wakuu wa Shule za Sekondari na Wakuu wa Zahanati. 

Akifungua mafunzo hayo, Mkurugenzi Mtendaji aliwasihi Washiriki Wote wa Mafunzo Kuhakikisha wanasikiliza kwa makini ili mafunzo haya yakapate kuwa na tija kwa Kuwaondolea Usumbufu wa Ukaguzi wa Kifedha na kuleta Urahisi na Usahihi wa Kuripoti Taarifa za Fedha.

Malengo ya Mfumo huo kwa Washiriki wa Mafunzo hayo kuwajengea uwezo watoa huduma katika vituo vya kutolea huduma, kusaidia upatikanaji wa taarifa sahihi katika mahesabu ya mapato na matumizi ya halmashauri na kuunda kusaidia kuhakikisha fedha za ruzuku zinasimamiwa vizuri na taarifa za matumizi yake zinatolewa kwa usahihi tofauti na ilivyokuwa mwanzo.

Mfumo huo wa FFARS unatekelezwa kwa ushirikiano baina ya Ofisi ya Rais  Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Wizara ya Fedha na Mipango, Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, pamoja na Mradi wa Kuimarisha Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) unaofadhiliwa na Shirika la Misaada la Watu wa Marekani (USAID).


Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 RORYA December 19, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 SHULE ZA SEKONDARI ZA SERIKALI RORYA-JOINING INSTRUCTIONS 2021 December 15, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA USIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA RORYA October 20, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 22, 2018
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu Kata, Waganga wa Vituo vya Afya Wamepewa Elimu ya Uhasibu kwenye Mafunzo ya Mfumo wa Uhasibu na Utoaji Taarifa za Fedha kwa Ngazi ya Kituo cha Kutolea Huduma (Facility Financial Accounting and Reporting System ''FFARS'')

    June 12, 2017
  • Siku ya Mazoezi Wilayani - Utegi Rorya

    March 24, 2017
  • Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbas azungumza na Maofisa Habari na Tehama

    February 17, 2017
  • GWF and GMS training to ICT Officers and Information Officers at Victoria Palace Hotel-Mwanza

    February 18, 2017
  • Angalia Vyote

Video

Makamu wa Rais ahimiza mazoezi kila mwisho wa mwezi
Video Zingine

Kiunganishi cha Haraka

  • Organization Structure of Rorya
  • Photo Gallery

Tovuti zenye Uhusiano

  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Tanzania
  • TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu, Sayansi na Ufundi
  • Tovuti ya Mkoa wa Mara
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Chaneli ya Ikulu ya Tanzania

Wanaotembelea tovuti Ulimwenguni

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    INGRI JUU - RORYA

    Sanduku la Posta: 250 TARIME

    Simu ya Mezani: 0282985583

    Simu ya Mkononi :

    Barua Pepe za Watumishi: mkurugenzi@roryadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Wanaotembelea Tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Zote Zimehifadhiwa