• Barua pepe |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Mrejesho na Malalamiko |
RORYA DISTRICT COUNCIL
RORYA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Elimu Sekondari
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijjiji na Miji
      • Mipango and Uratibu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA)
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • TASAF
      • Ardhi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
    • Kata
      • Kata za Tarafa ya Nyancha
        • Kata ya Kigunga
        • Kata ya Kinyenche
        • Kata ya Raranya
        • Kata ya Mkoma
        • Kata ya Bukura
        • Kata ya Tai
        • Kata ya Nyahongo
        • Kata ya Kirogo
        • Kata ya Nyamtinga
        • Kata ya Nyamagaro
        • Kata ya Kyangasaga
      • Kata za Tarafa ya Girango
        • Kata ya Mirare
        • Kata ya Kitembe
        • Kata ya Goribe
        • Kata ya Ikoma
        • Kata ya Koryo
        • Kata ya Bukwe
        • Kata ya Roche
      • Kata za Tarafa ya Luoimbo
        • Kata ya Nyathorogo
        • Kata ya Nyaburongo
        • Kata ya Rabour
      • Kata za Tarafa ya Suba
        • Kata ya Kisumwa
        • Kata ya Nyamunga
        • Kata ya Baraki
        • Kata ya Komuge
        • Kata ya Kyang'ombe
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Tarajiwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari

MAPATO RORYA KUVUKA LENGO, CHANGAMOTO ZOTE KUTATULIWA

Tarehe ya Kuwekwa: September 13th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya ndg. Abdul Mtaka leo Jumatano, tarehe 13 Septemba 2023 ameongoza kikao cha Kamati ya Mapato ya Wilaya iliyokaa pamoja na Wakusanya mapato wote wa Wilaya ya Rorya na Wajumbe wa BMU.

Kikao hicho kilikaa katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya kujadili changamoto na kuweka mikakati ya kufikia lengo la kukusanya mapato na kuweza kuvuka lengo walilowekewa.


Wakiongea katika kikao hicho Wakusanya mapato wametoa changamoto wanazokutana nazo katika ukusanyaji wa mapato kuwa ni pamoja na kucheleweshewa fedha za gharama ya ufuatiliaji ziwani, kucheleweshewa marejesho ya fedha za makato ya miamala wanapolipia fedha kupitia mitandao ya simu, ubovu wa barabara zinazoingia na kutoka mialoni, wavuvi kugoma kutoa ushuru wa maegesho ya mitumbwi kwa kisingizio cha kauli za kisiasa na kutokwepo kwa choo na baadhi ya Halmashauri kuomba ushuru mara mbili baada ya wateja kukata kwao na kusafirisha mazao kwenda halmashauri zingine.

Changamoto zingine ni kutopata ushirikiano wa kutosha kutoka Jeshi la Polisi hasa kwa wanaotoroka bila kulipa ushuru wa Stendi, kukosa Vitambulisho na baadhi ya Viongozi wa Halmashauri kutowatambua mbele ya Jamii wanakokusanyia ushuru ili kuwaongezea nguvu.

Mkurugenzi Mtendaji ameahidi kuwa kero zote zinazokwamisha ukusanyaji wa mapato yatatatuliwa kwa wakati na anaamini ukusanyaji wa mapato utafikia na kuvuka lengo lililowekwa kwa mwa wa fedha 2023/2024.

Wakusanyaji mapato hao wamemshukuru Mkurugenzi Mtendaji kwa kikao hicho muhimu na wametoa pongezi zao kwa kuwajali kwa kuwalipa posho zao kwa wakati na wameahidi kuendelea kuchapa kazi ili kuletea Rorya mapato ya kutosha na kuweza kuvuka lengo.

Wajumbe wa BMU wakiongea katika kikao hicho wametoa kero zao kubwa ni pamoja na uvuvi haramu, kutekwa na kupigwa kwa Wavuvi wao wanapoenda kuvua ndani ya Ziwa Victoria na Wavuvi na Majambazi kutoka Kenya na Uganda ambapo hunyang'wa Samaki, Mazao ya Samaki na Vyombo vya uvuvi pamoja na kuuwawa. kero zingine ni kutojua kwa usahihi mipaka ndani ya Ziwa na uchakavu mkubwa wa Miundombinu ya BMU na kutorejeshewa fedha zao.

Mkuu wa Idara ya Kilimo, Uvuvi na Mifugo na Mkuu wa Kitengo cha Fedha wameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa BMU na kuahidi kuanza upya katika maeneo ambayo halmashauri ililegea. Hata hivyo, amesema matatizo mengine tayari yamewasilishwa katika Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mkoa na Mamlaka za Juu ya Nchi ili ziweze kupatiwa ufumbuzi zaidi.

Kikao hicho kimehairishwa kwa Wajumbe wote kukubaliana kuongeza nguvu za Ukusanyaji wa Mapato na wanaamini watavuka lengo.

Matangazo

  • INTERVIEW RESULTS( MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II) October 10, 2024
  • INTERVIEW RESULTS(DEREVA DARAJA LA II) October 11, 2024
  • RIPOTI KUU YA UKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA 2022/2023 April 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 24, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • ZOEZI LA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA WA SERIKALI ZA MITAA

    October 11, 2024
  • Dc Rorya Dkt Haule alitembelea na kukagua ujenzi wa madarasa 2 na ofisi mmoja ya Walimu shule mpya ya sekondari Kirongwe.

    September 19, 2024
  • kukagua ujenzi wa chuo cha VETA Rorya tarehe 26/9/2024.

    September 26, 2024
  • MWENGE OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

    July 29, 2024
  • Angalia Vyote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI
Video Zingine

Kiunganishi cha Haraka

  • Organization Structure of Rorya
  • Photo Gallery

Tovuti zenye Uhusiano

  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Tanzania
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA)
  • Tovuti ya Mkoa wa Mara
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Chaneli ya Ikulu ya Tanzania

Wanaotembelea tovuti Ulimwenguni

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    INGRI JUU - RORYA

    Sanduku la Posta: 250 TARIME

    Simu ya Mezani: 0282985583

    Simu ya Mkononi :

    Barua Pepe za Watumishi: mkurugenzi@roryadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Wanaotembelea Tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Zote Zimehifadhiwa