• Barua Pepe za Watumishi |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Mrejesho na Malalamiko |
RORYA DISTRICT COUNCIL
RORYA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Ujumbe na Maono
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya halmashauri
  • Utawala
    • Division
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Information and Communication Technology Unit
      • Internal Audit Unit
      • Legal Services Unit
      • Procurement Management Unit
      • Government Communication Unit
    • Muundo wa Utawala
    • Kata
      • Kata -Tarafa ya Nyancha
        • Kata ya Nyahongo
        • Kata ya Kigunga
        • Kata ya Mkoma
        • Kata ya Raranya
        • Kata ya Bukura
        • Kata ya Tai
        • Kata ya Nyamtinga
        • Kata ya Kirogo
        • Kata ya Nyamagaro
        • Kata ya Kinyenche
        • Kata ya Kyangasaga
      • Kata-Tarafa ya Girango
        • Kata ya Mirare
        • Kata ya Koryo
        • Kata ya Bukwe
        • Kata ya Goribe
        • Kata ya Ikoma
        • Kata ya Kitembe
        • Kata ya Roche
      • Kata-Tarafa ya Suba
        • Kata ya Kisumwa
        • Kata ya Baraki
        • Kata ya Komuge
        • Kata ya Nyamunga
        • Kata ya Kyangómbe
      • Kata-Tarafa ya Luoimbo
        • Kata ya Rabour
        • Kata ya Nyaburongo
        • Kata ya Nyathorogo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Tarajiwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma Kwa Wateja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba Ya Picha
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Makala
    • Nyaraka

MRADI WA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA -INGRI JUU

Start Date: 2018-09-12
End Date: 2023-12-20

Mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Rorya ulianza mwaka wa fedha 2018/2019. 

Kwa nyakati tofauti kati ya Mwaka wa fedha 2018/2019 mpaka 2022/2023 (miaka 6) imepokea fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali ya majengo ambapo hadi kufikia sasa jumla ya fedha Tsh   3,250,000,000.00 kutoka Serikali Kuu zimeshapokelewa, na Tsh 99,649,780.00 kutoka Mapato ya Ndani zimetumika.

Mradi huu wa ujenzi wa Hospitali ya wilaya kulingana na maelekezo kutoka OR - TAMISEMI unafanyika kwa utaratibu wa ’Force Account’’ chini ya kanuni ya 167 ya Sheria ya Manunuzi ya Umma ya mwaka 2013 mbapo kamati ziliundwa kufuatana na mwongozo huo ambazo ni Kamati ya Manunuzi, Kamati ya Mapokezi, Kamati ya Ujenzi na kamati kuu ya kusimamia kazi hii.

MAPOKEZI YA FEDHA

Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kwa Mwaka wa fedha 2018/2019 ilipokea kiasi cha shilingi 1,500,000,000.00 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa hospitali ya wilaya. Majengo ambayo yalielekezwa kuanza kwa awamu ya kwanza ni saba (7), ambayo ni:

  • Jengo la Utawala
  • Jengo la wagonjwa wa nje
  • Jengo Wodi ya wazazi na upasuaji wa dharura.
  • Bohari ya dawa,
  • Jengo  la Maabara,
  • Jengo la kufulia, na
  • Jengo la mionzi

Mwezi Juni, 2020 Halmashauri ilipokea kiasi cha shilingi 300,000,000.00 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa awamu ya kwanza.

Kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Halmashauri ilipokea kiasi cha shilingi 800,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa majengo manne;

  • Jengo la upasuaji
  • Jengo la kuhifadhia maiti
  • Wodi ya upasuaji wanawake, na
  • Wodi ya upasuaji wanaume

Mwaka wa fedha 2021/2022 kiasi cha fedha  Tsh 90,000,000 kilipokelewa kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya mtumishi (3 in 1) ambapo ujenzi umekamilika na watumishi wanaishi hapo. 

 

Mwaka wa fedha 2022/2023 Hospitali ya ilipokea kiasi cha fedha Tsh 60,014,148 kutoka kwa wadau wa maendeleo (Global Fund) kwa ajili ya ujenzi wa kichomea taka na shimo la majivu ambapo ujenzi umekamilika.

UKAMILISHAJI WA MAJENGO YA MRADI NA KUANZA KWA HUDUMA

Hadi kufikia sasa (Oktoba 2023) majengo 5 kati ya saba yamekamilika na yanatumika kutoa huduma ambayo ni Jengo la wagonjwa wa nje (OPD), Jengo la Maabara, Jengo la Mama na mtoto na upasuaji, Jengo la Mionzi (Xray na Ultra sound) na Stoo ya dawa. 

Jengo la ufuaji lipo hatua za ukamilishaji ikiwa imebakia kuwekwa masinki, milango na mfumo ya maji taka na maji safi, Jengo la utawala imebakia madirisha, mifumo ya maji taka,maji safi na umeme.

UTOAJI WA HUDUMA ZA MATIBABU

Mnamo Tarehe 26 mwezi Juni 2020 Hospitali ya Wilaya ya Rorya ilianza kutoa huduma mbalimbali za wagonjwa wa nje (OPD). Hii ni baada ya kukamilika kwa jengo la wagonjwa wa nje hivyo ikaonekana ni vyema kuanza huduma. Hadi kufikia sasa huduma zinaendelea ambapo wastani wa wateja 350 kwa mwezi wanahudumiwa katika huduma zifuatazo;

  • Huduma ya wagonjwa wa nje
  • Kliniki ya wagonjwa wa kifua kikuu
  • Huduma za utra sound na mionzi

Huduma ya Xray na Ultra sound imeanza tayari hospitalini hapa.


Huduma za Wagonjwa wa nje yaani OPD pia zimeanza kutolewa.


  • Kiliniki ya wajawazito na watoto
  • Huduma za kujifungua wanawake wajawazito ambapo hadi kufikia sasa akina mama 26 wameshajifungua salama

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2023 KWA RORYA December 14, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MUDA HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA SEPTEMBA 2025 September 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MUDA HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA SEPTEMBA 2025 September 12, 2025
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 14 VYILIVYOPEWA MKOPO WA 14% VYAPEWA MAFUNZO

    January 15, 2026
  • RC MARA AFANYA ZIARA YA SIKU MOJA WILANI RORYA

    January 15, 2026
  • DC RORYA AFUNGUA SHULE YA SEKONDARI NA KUACHA MAAGIZO

    January 09, 2026
  • ZOEZI LA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA WA SERIKALI ZA MITAA

    October 11, 2024
  • Angalia Vyote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI
Video Zingine

Kiunganishi cha Haraka

  • Organization Structure of Rorya
  • Photo Gallery

Tovuti zenye Uhusiano

  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Tanzania
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA)
  • Tovuti ya Mkoa wa Mara
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Chaneli ya Ikulu ya Tanzania

Wanaotembelea tovuti Ulimwenguni

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    INGRI JUU - RORYA

    Sanduku la Posta: 250 TARIME

    Simu ya Mezani: 0282985583

    Simu ya Mkononi :

    Barua Pepe za Watumishi: mkurugenzi@roryadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Wanaotembelea Tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Zote Zimehifadhiwa