• Barua pepe |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Mrejesho na Malalamiko |
RORYA DISTRICT COUNCIL
RORYA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Elimu Sekondari
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu na Maendeleo ya Vijjiji na Miji
      • Mipango and Uratibu
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA)
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • TASAF
      • Ardhi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
    • Kata
      • Kata za Tarafa ya Nyancha
        • Kata ya Kigunga
        • Kata ya Kinyenche
        • Kata ya Raranya
        • Kata ya Mkoma
        • Kata ya Bukura
        • Kata ya Tai
        • Kata ya Nyahongo
        • Kata ya Kirogo
        • Kata ya Nyamtinga
        • Kata ya Nyamagaro
        • Kata ya Kyangasaga
      • Kata za Tarafa ya Girango
        • Kata ya Mirare
        • Kata ya Kitembe
        • Kata ya Goribe
        • Kata ya Ikoma
        • Kata ya Koryo
        • Kata ya Bukwe
        • Kata ya Roche
      • Kata za Tarafa ya Luoimbo
        • Kata ya Nyathorogo
        • Kata ya Nyaburongo
        • Kata ya Rabour
      • Kata za Tarafa ya Suba
        • Kata ya Kisumwa
        • Kata ya Nyamunga
        • Kata ya Baraki
        • Kata ya Komuge
        • Kata ya Kyang'ombe
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Tarajiwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Nyaraka
  • Kituo cha Habari

MRADI WA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA -INGRI JUU

Start Date: 2018-09-12
End Date: 2023-12-20

Mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Rorya ulianza mwaka wa fedha 2018/2019. 

Kwa nyakati tofauti kati ya Mwaka wa fedha 2018/2019 mpaka 2022/2023 (miaka 6) imepokea fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali ya majengo ambapo hadi kufikia sasa jumla ya fedha Tsh   3,250,000,000.00 kutoka Serikali Kuu zimeshapokelewa, na Tsh 99,649,780.00 kutoka Mapato ya Ndani zimetumika.

Mradi huu wa ujenzi wa Hospitali ya wilaya kulingana na maelekezo kutoka OR - TAMISEMI unafanyika kwa utaratibu wa ’Force Account’’ chini ya kanuni ya 167 ya Sheria ya Manunuzi ya Umma ya mwaka 2013 mbapo kamati ziliundwa kufuatana na mwongozo huo ambazo ni Kamati ya Manunuzi, Kamati ya Mapokezi, Kamati ya Ujenzi na kamati kuu ya kusimamia kazi hii.

MAPOKEZI YA FEDHA

Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kwa Mwaka wa fedha 2018/2019 ilipokea kiasi cha shilingi 1,500,000,000.00 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa hospitali ya wilaya. Majengo ambayo yalielekezwa kuanza kwa awamu ya kwanza ni saba (7), ambayo ni:

  • Jengo la Utawala
  • Jengo la wagonjwa wa nje
  • Jengo Wodi ya wazazi na upasuaji wa dharura.
  • Bohari ya dawa,
  • Jengo  la Maabara,
  • Jengo la kufulia, na
  • Jengo la mionzi

Mwezi Juni, 2020 Halmashauri ilipokea kiasi cha shilingi 300,000,000.00 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa awamu ya kwanza.

Kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Halmashauri ilipokea kiasi cha shilingi 800,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa majengo manne;

  • Jengo la upasuaji
  • Jengo la kuhifadhia maiti
  • Wodi ya upasuaji wanawake, na
  • Wodi ya upasuaji wanaume

Mwaka wa fedha 2021/2022 kiasi cha fedha  Tsh 90,000,000 kilipokelewa kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya mtumishi (3 in 1) ambapo ujenzi umekamilika na watumishi wanaishi hapo. 

 

Mwaka wa fedha 2022/2023 Hospitali ya ilipokea kiasi cha fedha Tsh 60,014,148 kutoka kwa wadau wa maendeleo (Global Fund) kwa ajili ya ujenzi wa kichomea taka na shimo la majivu ambapo ujenzi umekamilika.

UKAMILISHAJI WA MAJENGO YA MRADI NA KUANZA KWA HUDUMA

Hadi kufikia sasa (Oktoba 2023) majengo 5 kati ya saba yamekamilika na yanatumika kutoa huduma ambayo ni Jengo la wagonjwa wa nje (OPD), Jengo la Maabara, Jengo la Mama na mtoto na upasuaji, Jengo la Mionzi (Xray na Ultra sound) na Stoo ya dawa. 

Jengo la ufuaji lipo hatua za ukamilishaji ikiwa imebakia kuwekwa masinki, milango na mfumo ya maji taka na maji safi, Jengo la utawala imebakia madirisha, mifumo ya maji taka,maji safi na umeme.

UTOAJI WA HUDUMA ZA MATIBABU

Mnamo Tarehe 26 mwezi Juni 2020 Hospitali ya Wilaya ya Rorya ilianza kutoa huduma mbalimbali za wagonjwa wa nje (OPD). Hii ni baada ya kukamilika kwa jengo la wagonjwa wa nje hivyo ikaonekana ni vyema kuanza huduma. Hadi kufikia sasa huduma zinaendelea ambapo wastani wa wateja 350 kwa mwezi wanahudumiwa katika huduma zifuatazo;

  • Huduma ya wagonjwa wa nje
  • Kliniki ya wagonjwa wa kifua kikuu
  • Huduma za utra sound na mionzi

Huduma ya Xray na Ultra sound imeanza tayari hospitalini hapa.


Huduma za Wagonjwa wa nje yaani OPD pia zimeanza kutolewa.


  • Kiliniki ya wajawazito na watoto
  • Huduma za kujifungua wanawake wajawazito ambapo hadi kufikia sasa akina mama 26 wameshajifungua salama

Matangazo

  • INTERVIEW RESULTS( MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II) October 10, 2024
  • INTERVIEW RESULTS(DEREVA DARAJA LA II) October 11, 2024
  • RIPOTI KUU YA UKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA 2022/2023 April 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 24, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • ZOEZI LA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA WA SERIKALI ZA MITAA

    October 11, 2024
  • Dc Rorya Dkt Haule alitembelea na kukagua ujenzi wa madarasa 2 na ofisi mmoja ya Walimu shule mpya ya sekondari Kirongwe.

    September 19, 2024
  • kukagua ujenzi wa chuo cha VETA Rorya tarehe 26/9/2024.

    September 26, 2024
  • MWENGE OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

    July 29, 2024
  • Angalia Vyote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI
Video Zingine

Kiunganishi cha Haraka

  • Organization Structure of Rorya
  • Photo Gallery

Tovuti zenye Uhusiano

  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Tanzania
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA)
  • Tovuti ya Mkoa wa Mara
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Chaneli ya Ikulu ya Tanzania

Wanaotembelea tovuti Ulimwenguni

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    INGRI JUU - RORYA

    Sanduku la Posta: 250 TARIME

    Simu ya Mezani: 0282985583

    Simu ya Mkononi :

    Barua Pepe za Watumishi: mkurugenzi@roryadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Wanaotembelea Tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Zote Zimehifadhiwa