• Barua Pepe za Watumishi |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Mrejesho na Malalamiko |
RORYA DISTRICT COUNCIL
RORYA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Ujumbe na Maono
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya halmashauri
  • Utawala
    • Division
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Mipango na Uratibu
    • Vitengo
      • Information and Communication Technology Unit
      • Internal Audit Unit
      • Legal Services Unit
      • Procurement Management Unit
      • Government Communication Unit
    • Muundo wa Utawala
    • Kata
      • Kata -Tarafa ya Nyancha
        • Kata ya Nyahongo
        • Kata ya Kigunga
        • Kata ya Mkoma
        • Kata ya Raranya
        • Kata ya Bukura
        • Kata ya Tai
        • Kata ya Nyamtinga
        • Kata ya Kirogo
        • Kata ya Nyamagaro
        • Kata ya Kinyenche
        • Kata ya Kyangasaga
      • Kata-Tarafa ya Girango
        • Kata ya Mirare
        • Kata ya Koryo
        • Kata ya Bukwe
        • Kata ya Goribe
        • Kata ya Ikoma
        • Kata ya Kitembe
        • Kata ya Roche
      • Kata-Tarafa ya Suba
        • Kata ya Kisumwa
        • Kata ya Baraki
        • Kata ya Komuge
        • Kata ya Nyamunga
        • Kata ya Kyangómbe
      • Kata-Tarafa ya Luoimbo
        • Kata ya Rabour
        • Kata ya Nyaburongo
        • Kata ya Nyathorogo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
  • Huduma Zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Tarajiwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Huduma Kwa Wateja
    • Ripoti
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba Ya Picha
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Makala
    • Nyaraka

Waratibu Elimu Kata, Waganga wa Vituo vya Afya Wamepewa Elimu ya Uhasibu kwenye Mafunzo ya Mfumo wa Uhasibu na Utoaji Taarifa za Fedha kwa Ngazi ya Kituo cha Kutolea Huduma (Facility Financial Accounting and Reporting System ''FFARS'')

Tarehe ya Kuwekwa: June 12th, 2017

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Ndg. Charles K Chacha amefungua Mafunzo ya Siku Mbili ya Mfumo wa Uhasibu na Utoaji Taarifa za Fedha kwa Ngazi ya Kituo cha Kutolea Huduma (Facility Financial Accounting and Reporting System ''FFARS'' kwa Waratibu Elimu Kata, Wakuu wa Vituo vya Afya na Mhasibu wa Hospitali ya Wilaya. Mafunzo hayo yanafanyika katika Ukumbi wa SOA, Utegi-Rorya kuanzia tarehe 12 hadi 13, Jumi 2017, na baadaye Washiriki hawa Kusambaa Wilaya nzima kupeleka Mafunzo hayo kwa Walimu Wakuu Shule za Misingi, Wakuu wa Shule za Sekondari na Wakuu wa Zahanati. 

Akifungua mafunzo hayo, Mkurugenzi Mtendaji aliwasihi Washiriki Wote wa Mafunzo Kuhakikisha wanasikiliza kwa makini ili mafunzo haya yakapate kuwa na tija kwa Kuwaondolea Usumbufu wa Ukaguzi wa Kifedha na kuleta Urahisi na Usahihi wa Kuripoti Taarifa za Fedha.

Malengo ya Mfumo huo kwa Washiriki wa Mafunzo hayo kuwajengea uwezo watoa huduma katika vituo vya kutolea huduma, kusaidia upatikanaji wa taarifa sahihi katika mahesabu ya mapato na matumizi ya halmashauri na kuunda kusaidia kuhakikisha fedha za ruzuku zinasimamiwa vizuri na taarifa za matumizi yake zinatolewa kwa usahihi tofauti na ilivyokuwa mwanzo.

Mfumo huo wa FFARS unatekelezwa kwa ushirikiano baina ya Ofisi ya Rais  Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Wizara ya Fedha na Mipango, Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, pamoja na Mradi wa Kuimarisha Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) unaofadhiliwa na Shirika la Misaada la Watu wa Marekani (USAID).


Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2023 KWA RORYA December 14, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MUDA HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA SEPTEMBA 2025 September 12, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MUDA HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA SEPTEMBA 2025 September 12, 2025
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 14 VYILIVYOPEWA MKOPO WA 14% VYAPEWA MAFUNZO

    January 15, 2026
  • RC MARA AFANYA ZIARA YA SIKU MOJA WILANI RORYA

    January 15, 2026
  • DC RORYA AFUNGUA SHULE YA SEKONDARI NA KUACHA MAAGIZO

    January 09, 2026
  • ZOEZI LA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA WA SERIKALI ZA MITAA

    October 11, 2024
  • Angalia Vyote

Video

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI
Video Zingine

Kiunganishi cha Haraka

  • Organization Structure of Rorya
  • Photo Gallery

Tovuti zenye Uhusiano

  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Tanzania
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA)
  • Tovuti ya Mkoa wa Mara
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA)
  • Chaneli ya Ikulu ya Tanzania

Wanaotembelea tovuti Ulimwenguni

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    INGRI JUU - RORYA

    Sanduku la Posta: 250 TARIME

    Simu ya Mezani: 0282985583

    Simu ya Mkononi :

    Barua Pepe za Watumishi: mkurugenzi@roryadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Wanaotembelea Tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Zote Zimehifadhiwa